Wednesday 9 November 2016

Obama Ampigia Simu kumpongeza Trump, amwalika White House



Rais Obama amempigia simu Donald Trump kumpongeza kwa ushindi uchaguzi wa urais ambapo pia amemwalika ikulu ya White House mnamo Alhamisi wajadiliane kuhusu shughuli ya mpito.
Obama pia amempigia Hillary Clinton na kumpongeza kutokana na alivyofanya kampeni.
Rais Obama atatoa taarifa zaidi Jumatano kutoka White House kujadili matokeo ya uchaguzi na hatua ambazo tunaweza kuchukua kama taifa kuungana tena pamoja baada ya kipindi cha uchaguzi huu uliokuwa na ushindani mkali", katibu wa ikulu amesema kupitia taarifa.
Taarifa kamili hii hapa: 
WHITE HOUSE

No comments: