Thursday 4 August 2016

Mchungaji Afariki Baada ya Kufunga Siku 30 Akitaka Kuvunja Record ya Yesu



AFRIKA KUSINI: Mchungaji mmoja amefariki baada ya kufunga usiku na mchana siku 30 akitaka kuvunja rekodi ya Yesu aliyefunga kwa siku 40.

Mchungaji huyo aliondoka nyumbani kwake na kuelekea nyikani kwa ajili ya kufunga na kuomba, huku akiweka nia kwa Mungu ya kujitenga na anasa za ulimwengu.

No comments: