Saturday 21 May 2016

TANZIA: Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar, Willson Kabwe afariki dunia

[​IMG]

Ndugu Wilson Kabwe, aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar na baadae kusimamishwa kazi mwanzoni mwa mwezi Mei, amefariki dunia.

Aidha, inasemekana tangu siku ile wamtumbue jipu ktk Daraja la Kigamboni (Nyerere Bridge) alikuwa shocked sana, ila tangu awali inadaiwa alikuwa kalazwa India akipatiwa matibabu.








CHANZO Jamii Forum 

No comments: