Thursday 27 October 2016

MKUU WA MKOA AWASHUKIA WAKUU WA IDARA YA ARDHI

Awataka kuongeza kasi YA kutatua kero za ardhi
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Amos Makalla leo Alhamisi YA mwisho wa mwezi ameendelea na UTARATIBU aliyojiwekea wa kusikiliza kero za wananchi na mamia YA wananchi wamejitokeza na kero yao ni matatizo YA ardhi na ucheleweshaji wa kesi mahakamani
Amewataka wakuu wa idara YA ardhi kuongeza kasi YA kusikiliza kero za ardhi na kuzipatia majawabu haraka
Amewataka wakuu wa wilaya na wakurugenzi kuongeza nguvu za kushughulikia kero za wananchi ikiwemo kutenga muda maalum wa kusikiliza kero kama anavyofanya yeye Mkuu wa Mkoa 
Aidha amevitaka jeshi la polisi kuongeza kasi ya kupeleleza kesi ili kuondoa tatizo la ucheleweshaji wa kesi 

No comments: