Tuesday 20 September 2016

Taasisi ya mpango wa maendeleo vijini (IRDP) imewasilisha mapendekezo ya kitaalamu katika kutoa huduma za kupamabana na Mafuriko Mjini Ifakara jimbo la Kilombero

Taasisi ya mpango wa maendeleo vijini (IRDP) imewasilisha mapendekezo ya kitaalamu katika kutoa huduma za kupamabana na Mafuriko Mjini Ifakara jimbo la Kilombero, Mkoani Morogoro.

Mapendekezo hayo ambayo pia yatajumuisha mapendekezo ya fedha zitakazotumika kufanikisha mradi huo ili kuondoa  kero ya mafuriko kwa wakazi Mji wa Ifakara.

Barua ya mapendekezo hayo ya kitalamu ilibainishwa na Mbunge wa Jimbo la Kilombero Mh.PETER LIJUALIKALI kupitia tiketi ya CHADEMA  ambapo aliwataka wanaanchi kuondoa hofu juu tatitzo la mafuriko ambalo limo katika moja ya ahadi zake za utendaji.

''Kupambana na mafuriko ni moja ya zilizokuwa ahadi zetu kwenu. Tumeamua kufanya utafiti wa kitaalamu kwa kutumia Wataalamu wa masuala haya''. Alisema Mh.Lijualikali kupitia kurasa ya Facebook


No comments: