Thursday 18 August 2016

Uingereza yajidhatiti kupambana na unene wa kupindukia kwa Watoto


Image copyrighLImage captio

Vyakula vyenye Sukari hatari kwa Afya za Watoto Uingereza
Mpango wa kupambana na unene wa kupindukia kwa watoto nchini Uingereza utatangazwa Alhamisi,mpango huo una nia ya kupunguza Sukari kwenye Vyakula na vinywaji kwa 20% kwa kipindi cha miaka zaidi ya minne.
Ilielezwa kutipitia BBC.
Lakini hatua hizo hazihusishi kuzuia matangazo ya vyakula kwenye Televisheni.
Vyanzo vya habari vinasema mpango huo utaeleza pia kuhusu masuala ya Kodi kwa vinywaji vyaenye sukari.
Mipango ya kupambana na tatizo hilo ilikuwa ikisubiriwa kwa hamu kwa miezi kadha

No comments: