August 15 2016 kamati ya utendaji ya Simba ilikutana na mfanyabiashara na mkurugenzi mtendaji mkuu wa makampuni ya Mohammed Enterprises Limited (MeTL) Mohammed Dewji ambaye aliomba kununua asilimia 51 ya hisa za Simba kama mfumo ukibadilika na kuanza kuendeshwa klabu hiyo kwa hisa, leo August 17 Simba wametoa makubaliano yao walioafikiana katika kikao chao cha pamoja.
Thursday 18 August 2016
MICHEZO NA BURUDANI
New
Makubaliano ya Simba na MO Dewji kuhusu kuiendesha Simba katika mfumo wa hisa
MICHEZO NA BURUDANI
MASHAIRI, MAKALA, PICHA, HABARI
MICHEZO NA BURUDANI
Makubaliano ya Simba na MO Dewji kuhusu kuiendesha Simba katika mfumo wa hisa
Reviewed by Fulgence Makayula
on
08:15:00
Rating: 5
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment